Search This Blog
Thursday, July 11, 2019
Basi laanguka kwenye mlima, watatu wafariki
Watu watatu wamekufa na wanne walipotea baada ya basi ya utalii kupoteza udhibiti baada ya kugongwa na jiwe kutoka kwa mlima siku ya jana katika Mkoa wa Sichuan kusini magharibi mwa China.
Basi hilo lilikuwa limebeba watu 30, iliteleza kwenye nyasi kando ya barabara baada ya kugongwa na jiwe. Hadi sasa watu watatu wamethibitishwa kufariki, na wengine 18 walijeruhiwa. Wanne hawajulikani walipo, kulingana na serikali ya kata.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment