Search This Blog

Sunday, July 21, 2019

Bashe, Simbachawene Kuapishwa Leo

Rais Magufuli atawaapisha mawaziri wateule ambao ni Mh. George Simbachawene kuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira na Mhe. Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo, leo Julai 22, 2019, kuanzia saa 2:30.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...