Search This Blog

Saturday, July 6, 2019

Basata Yalaani Kusambaa kwa Video na Picha za Faragha za Amber Rutty

BASATA imesema haimtambui Amber Rutty kama msanii na hajasajiliwa kufanya shughuli za sanaa kama msanii binafsi au katika kikundi. Aidha, baraza hilo linalaani kufuatia kusambaa kwa picha zake za faragha, jambo ambalo ni kinyume na maadili.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...