Afisa wa Bunge Ndg. Omary Machunda (Kulia) akimpa Elimu kuhusu Shughuli zinazofanywa na Mhimili wa Bunge Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Askofu Mark Malekana alipotembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya 43 ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam hii leo. ( Picha na Ofisi ya Bunge)
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment