Search This Blog
Tuesday, July 9, 2019
Ahukumiwau kifo kwa kuua watoto 6 na kujeruhi wengine 20
Mahakama katika mkoa wa Liaoning, kaskazini mashariki mwa China imehukumu mwanaume mmoja kifo kwa kuua watoto 6 na kujeruhi watu wengine 20 baada ya kuwagonga na gari kwa makusudi walipokuwa wakivuka barabara.
Mtuhumiwa, Han Jihua, aliendesha gari ndogo ndani ya kundi la wanafunzi 60 pamoja na walimu wao kabla ya kutoroka baada ya kusababisha mauaji hayo.
Mahakama hiyo imesema kwamba mtuhumiwa alitenda kosa hilo kwa makusudi na kudai kwamba alikuwa akipitia hali ngumu ya kifedha na familia yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment