Search This Blog

Tuesday, July 9, 2019

Ahukumiwau kifo kwa kuua watoto 6 na kujeruhi wengine 20


Mahakama katika mkoa wa Liaoning, kaskazini mashariki mwa China imehukumu mwanaume mmoja kifo kwa kuua watoto 6 na kujeruhi watu wengine 20 baada ya kuwagonga na gari kwa makusudi walipokuwa wakivuka barabara.

Mtuhumiwa, Han Jihua, aliendesha gari ndogo ndani ya kundi la wanafunzi 60 pamoja na walimu wao kabla ya kutoroka baada ya kusababisha mauaji hayo.

Mahakama hiyo imesema kwamba mtuhumiwa alitenda kosa hilo kwa makusudi na kudai kwamba alikuwa akipitia hali ngumu ya kifedha na familia yake.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...