Search This Blog

Sunday, June 30, 2019

Watu 228 wafariki Australia kwa homa


Takribani watu 228 wameripotiwa kufariki nchini Australia kutokana na homa ya mafua huku wengine 100,000 wakiuguza virusi hivyo, idadi kubwa ikilinganishwa na mwaka wa 2018 ambapo vifo 58,824 viliripotiwa.

Mkuu wa afya nchini humo amesema virusi hivyo vimeendelea kusambaa licha ya chanjo iliyotolewa kwa zaidi ya watu milioni 11 na kuongeza kuwa taifa hilo linapitia wakati mgumu kutokana na msimu wa baridi na wanatarajia hali hiyo kuboreka kati ya mwezi wa Julai na Septemba.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...