Search This Blog
Sunday, June 30, 2019
Watu 228 wafariki Australia kwa homa
Takribani watu 228 wameripotiwa kufariki nchini Australia kutokana na homa ya mafua huku wengine 100,000 wakiuguza virusi hivyo, idadi kubwa ikilinganishwa na mwaka wa 2018 ambapo vifo 58,824 viliripotiwa.
Mkuu wa afya nchini humo amesema virusi hivyo vimeendelea kusambaa licha ya chanjo iliyotolewa kwa zaidi ya watu milioni 11 na kuongeza kuwa taifa hilo linapitia wakati mgumu kutokana na msimu wa baridi na wanatarajia hali hiyo kuboreka kati ya mwezi wa Julai na Septemba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment