Search This Blog
Thursday, June 6, 2019
Waliokuwa wakihoji Ommy Dimpoz anaenda Ulaya kufanya nini, Jibu hili hapa
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amewafunga mdomo watu waliokuwa wanahoji ameenda Ulaya kufanya nini baada ya kupost picha akiwa na mtoto mdogo anaedaiwa kuwa ni wake.
Dimpoz, kupitia ukurasa wa Instagram wa Ommy Dimpoz ameandika caption ambayo wengi wameipigia mstari na kusema kuwa inawezekana yule ni mtoto wake, Ommy hakutaja jina la mtoto huyo lakini alionekana akiwa nae Aiport ya Barcelona kama wanasafiri nae hivi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment