Search This Blog
Sunday, June 23, 2019
Vijiji zaidi ya 120 Tabora kupata maji kutoka Ziwa Victoria
Bomba la Maji kwenda miji ya Tabora,Nzega na Igunga na Vijiji zaidi ya 120 likiunganishwa katika eneo la Solwa. Nzega wataanza kupata maji ya Ziwa Victoria mwezi wa saba, Igunga mwezi wa tisa na Tabora wataanza kupata maji kutoka Ziwa Victoria Novemba mwaka huu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment