Search This Blog

Thursday, June 6, 2019

VIDEO: Tazama mazoezi ya mwisho ya Taifa Stars asubuhi hii Uwanja wa Taifa


Timu ya Tanzania (TaifaStars) imefanya mazoezi yake ya mwisho asubuhi hii katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya kusafiri Ijumaa hii kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kambi fupi pamoja na kushiriki michiuano ya AFCON 2019 nchini humo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...