Search This Blog

Friday, June 21, 2019

VIDEO: Serikali ya Tanzania yasema Dengue imeua wanne, wagonjwa

Serikali ya Tanzania leo Ijumaa Juni 21, 2019 imetoa kauli bungeni kuhusu homa ya dengue kwamba tangu Januari hadi Juni 2019 watu wanne wamefariki dunia  huku 4,320 wakiwa wameugua ugonjwa huo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...