Search This Blog

Saturday, June 8, 2019

VIDEO: Mwinyi Zahera ni Kiboko, Apiga Mkwara mzito Yanga


Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amezidi kuonyesha kuwa hana masihara kwenye kazi kwa kufunguka kuwa haitaji kocha msaidizi wa bongo baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa uongozi wa timu yake unataka kumletea kocha mwingine msaidizi huku kocha Mecky Mexime wa Kagera Sugar akitajwa kuchukua mikoba hiyo.

TAZAMA FULL V IDEO HAPA CHINI.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...