Search This Blog

Tuesday, June 18, 2019

VIDEO: Mhubiri wa kimataifa Moses Magembe awanya wananchi


Muhubiri wa Kimataifa Moses Magembe amewaomba Viongozi na Wananchi kuendelea kuitunza heshema ya Tanzania ambayo imeenea ulimwenguni kote, akiwa katika ibada ya kuliombea Taifa mkoani Tabora, hatahivyo  Mkuu wa wilaya ya Tabora Komanya Erick  ameomba  wanachi

kulingana na imani yake kuendelea kumwombea Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali yake katika kupigania haki za wa Tanzania

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...