Muhubiri wa Kimataifa Moses Magembe amewaomba Viongozi na Wananchi kuendelea kuitunza heshema ya Tanzania ambayo imeenea ulimwenguni kote, akiwa katika ibada ya kuliombea Taifa mkoani Tabora, hatahivyo Mkuu wa wilaya ya Tabora Komanya Erick ameomba wanachi
kulingana na imani yake kuendelea kumwombea Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali yake katika kupigania haki za wa Tanzania
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment