Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin kunambi,amesema kuwa miradi inayotekelezwa jijini humo ikiwemo ya Ujenzi wa Soko na Stand ya kisasa umefikia katika hatua nzuri.
Kunambi ameyasema hayo wakati wa ziara ya Naibu waziri wa TAMISEMI,Mh.Mwitta Waitara alipotembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya jiji hilo,
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USIKOSE KU-SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment