Search This Blog
Sunday, June 9, 2019
Undertaker amshushia kipigo kizito Goldberg
Usiku kuamkia Jumamosi ya wikiendi iliyomalizika, mwanamieleka William Calaway maarufu kama Undertaker amemcharaza mpinzani wake William Scott maarufu kama Goldberg katika mchezo wa Super Showdown nchini Saudi Arabia.
Awali kabla ya mchezo huo, tambo za wababe hao zilivuta hisia za mashabiki wengi kutokana na rekodi za wawili hao katika medani ya mchezo huo wa mieleka.
Mchezo huo ulidumu kwa dakika 24, Undertaker akipigwa mara tatu lakini haikufanya kumzuia Undertaker kuibuka mshindi wa pambano hilo.
Matokeo mengine, Randy Orton amemshinda Tripple H, Braun Strowman amemtandika Bobby Lashley huku bingwa wa WWE Kofi Kingston ametetea ubingwa wake dhidi ya Dolph Ziggler.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment