Search This Blog

Sunday, June 9, 2019

Ufaransa yashushiwa kipigo na Uturuki

Timu ya taifa ya Uturuki yailaza timu ya Ufaransa 2 - 0 katika mechi iliokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa Euro 2020

Mechi kali kati ya Ufaransa na Uturuki ilichezwa katika uwanja wa Konya Kusini mwa Uturuki .

Mechi hiyo kali katika kipindi cha kwanza cha mchezo, Uturuki ilijipatia magoli yake mawili  huku Ufaransa ikiendelea na juhudi zake kutaka kurudisha  magoli bila ya kufaulu.

Kan Ayhan amefunga bao la kwanza na kufautiwa na Cengiz Ünder  katika dakika ya 40.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...