Search This Blog
Sunday, June 30, 2019
Tetesi: Muda wowote Simba SC kumtangaza Ibrahim Ajibu kama mchezaji wao
Inaripotiwa kuwa kuanzia leo Ibrahim Ajibu Migomba ni mchezaji halali wa Simba SC ambapo mkataba wake na Yanga SC umemalizika rasmi jana.
Taarifa zinaeleza kuwa Simba SC ilikuwa inasubiria kumtangaza mchezaji huyo mara baada ya mkataba wake na Yanga SC kumalizika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment