Search This Blog

Friday, June 7, 2019

Taifa Stars Wakabidhiwa Bendera ya Taifa kuelekea AFCON Leo

Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amemkabidhi bendera Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta tayari kwa safari ambapo kikosi cha timu ya taifa kitaondoka leo kwenda nchini Misri kuweka kambi ya wiki mbili kikijiandaa na AFCON.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...