Search This Blog

Monday, June 17, 2019

PROF. MCHOME ATEMBELEA MKOA WA SONGWE KUKAGUA MSAADA WA SHERIA

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof.Sifuni Mchome akisikiliza Taarifa ya utekelezaji wa shughuli za msaada wa kisheria mkoani Songwe kutoka kwa Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Songwe 
Prof. Mchome akizungumza baada ya kutembelea kituo cha msaada wa Sheria Cha Talaleca mjini Vwawa 
Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kituo cha WSCO kinachotoa msaada wa sheria wilayani Mbozi 
Prof. Mchome akitoa maelekezo baada ya kumaliza kazi ya ukaguzi wa kituo kinachotoa msaada wa sheria cha WSCO 
Prof. Mchome akikagua jalada la Taarifa mbalimbali za utekelezaji alipotembelea kituo cha msaada wa kisheria cha WSCO cha Mbozi


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...