Search This Blog

Thursday, June 6, 2019

OHOOOO....NI MUHIMU KUCHUKUA TAHADHALI KABLA YA AJALI

 Mmoja wa wakazi wa Geita akiwa amepanda bodaboda iliyosheheni mzigo na kukaa kwa mtindo wa Kike, ambao haruhusiwi na Watu wa Usalama barabarani kwani ni hatari kwa abiria huku dereva wake akiwa hajavaa kofia ngumu hali inayohatarisha maisha yao kama ikitokea ajali .PICHA NA HUMPHREY SHAO, MICHUZI BLOG.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...