Search This Blog
Monday, June 10, 2019
Nimekupeleka ujaribu U-RAS ukisimamia vibaya nitakutumbua tena - Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka aliyekuwa Kamishna Mkuu wa TRA, Kichere ambaye kwasasa ni RAS akafanye kazi kwa bidii akishindwa atamtoa tena.
"Na walipokusema siku ile wala hujui, unamuangalia mtu wa nyuma yako utawaangalia lini utakuta awapo nikaona ni nafuu na wewe utoke hapo hapo, kwahiyo tumekupeleka huko ukajaribu U-RAS ukiusimamia vibaya na kule nako tunakutoa, sifichi ndugu yangu tukifichana kama ni aibu ya kuficha mimi sina," alisema Rais Magufuli baada ya kuwaapisha viongozi wateule aliwateua.
Rais Magufulu alitengua uteuzi wa Kichere aliyekuwa Kamishna Mamlaka ya Mapato (TRA) na ambaye kwasasa ni Katibu Tawala Mkoa wa Njombe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment