“Kusali kwa kupayuka sio ishara yakuwa maombi yanamfikia Mungu ni kukosa hekima maana kunaweza kuleta makwazo kwa majirani na pia kuwapa watu faida ya kuyasikia matatizo yako, Mathayo 6:7 mwalimu Yesu anasema ..nanyi mkiwa katika kusali msipayuke payuke kama watu wa mataifa maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi, kikubwa kinachotakiwa ni ushirika wako wa rohoni na Mungu”- Mchungaji Anthony Lusekelo
Mzee wa Upako"Kusali kwa kupayuka sio ishara yakuwa maombi yanamfikia Mungu ni kukosa hekima"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment