Search This Blog

Saturday, June 15, 2019

Mr Nice Awakomesha Wanaosema Amefulia..Azindua Mradi wake wa Maji ya Kunywa


Msanii mkongwe Mr Nice baada ya maneno mengi na kuambiwa amefulia hana tena uwezo wakipesa kama enzi zake za zamani amewajibu mashabiki wanaosema maneno kwa kutambulisha bidhaa yake mpya ya maji inayotambulika kwa jina la Mr Nice Water. . **HONGERA kumpongeza Mr Nice Mzee wa TAKEU 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...