Search This Blog
Friday, June 7, 2019
Mfanyabiashara Aomba Ulinzi wa Rais Magufuli, Adai Anawaogoa TRA
Mfanyabiashara kutoka Mbeya ameomba ulinzi wa Rais John Magufuli baada ya kudai anaogopa baada ya kuongelea changamoto anazokumbana nazo kutoka kwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Baada ya ombi hilo Rais Magufuli aelekeza mlinzi wake achukue namba ya mfanyabiashara huyo pamoja na kumpa ya kwake kwa ajili ya mawasiliano endapo atasumbuliwa.
Utakumbuka leo June 7, 2019 Rais Magufuli amekutana na wafanyabiashara kutoka wilaya zote nchini Ikulu jijini Dar es Salaam na kuzungumza nao ambapo wamemueleza changamoto zao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment