KENYA: Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kwa kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
Baada ya kuchapwa kibao hicho, Fatuma Gedi ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, alionekana akivuja damu katika kinywa chake
Kufuatia kitendo hicho Wabunge Wanawake wote walitoka nje ya Ukumbi wa Bunge
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment