Search This Blog

Thursday, June 13, 2019

Mbunge Akamatwa Kwa Kumpiga Mbunge Mwenzake

KENYA: Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kwa kutopeleka fedha kwenye jimbo lake

Baada ya kuchapwa kibao hicho, Fatuma Gedi ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, alionekana akivuja damu katika kinywa chake

Kufuatia kitendo hicho Wabunge Wanawake wote walitoka nje ya Ukumbi wa Bunge

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...