Search This Blog

Sunday, June 16, 2019

Mbappe akishuhudia Toronto Raptors ikibeba taji la NBA

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe alikuwepo kwenye mechi ya sita ya fainali ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Mareekani, NBA 2019 Uwanja wa Oracle Arena mjini Oakland, California, Toronto Raptors wakitwaa taji lao la kwanza na la kwanza pia la michuanon hiyo kwa timu ya Canada baada ya kuifunga Golden State Warriors 114-110 usiku wa Alhamis.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...