Search This Blog
Wednesday, June 26, 2019
Majeneza ya ajabu yaliyodumu kwa miaka 400 yasalimika na tetemeko la ardhi
Majeneza ya ajabu ya zaidi ya miaka 400 ambayo yamehifadhiwa juu ya mwamba katika mkoa wa Sichuan nchini China, yamebakia kuwa imara licha ya tetemeko la ardhi lenye viwango vya richa 5.4 kupiga katika eneo hilo na kufanya uharibifu mkubwa.
Majeneza hayo ambayo yanahusishwa na urithi wa kihistoria na utamaduni, yalisimama imara na salama licha ya watu wanne kufariki, 128 kujeruhiwa na maelfu ya majengo kuharibiwa siku ya Jumamosi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment