Search This Blog
Sunday, June 23, 2019
Kamati ya amani na usalama ya Umoja wa Afrika kufanya mkutano leo
Waziri wa mambo ya nje wa Morocco juzi alitangaza kuwa, kamati ya amani na usalama ya Umoja wa Afrika itafanya mkutano leo mjini Skhirat.
Mkutano huo wa siku tatu utakagua hatua za ujenzi wa amani barani Afrika, njia ya kufanya kazi ya kamati hiyo na changamoto za kutatua mgogoro barani Afrika.
Mkutano huo utahudhuriwa na nchi wanachama 15 wa kamati hiyo, zikiwemo Algeria, Angola, Burundi, Djibouti, Gabon, Guinea Ikweta, Kenya, Lesotho, Liberia, Nigeria, Rwanda, Sierra Leone, Togo, Zimbabwe na Morocco.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment