Search This Blog

Wednesday, June 19, 2019

Jack Wolper "Watu Wenye hela zao Wananitaka ila nia yao Kunichezea tu"


Wolper anayesifika kuwa mchapakazi amefunguka kwamba angeamua kuwa Boss Lady kwa njia za panya kama wengine ilikuwa simple tu kwani mapedeshee wengi wenye pesa zao wamemshobokea sana lakini aliamua kuwapuuza baada ya kujua kuwa nia yao si nzuri  kwake wanataka kumtumia kwa manufaa yao binafsi

Akizungumza na Ijumaa amesema kwa muda mrefu ameamua kutafuta pesa zake mwenyewe kwa njia halali kwa kujibidiisha kikazi  



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...