Search This Blog
Sunday, June 16, 2019
'Game' haijabadilika ila wasanii ndio wamebadilika - PNC
Msanii wa Muziki, PNC amesema game ya mziki huo haijabadilika ila wasanii ndio wamebadilika.
PNC amesema kuwa tangu aanze kufanya muziki mpaka leo hela kubwa ambayo aliwahi kuishika ilikuwa ni milioni moja.
“Kiukweli kwa upande wangu game haijabadilika bali naona wasanii ndiyo wamebadilika. Toka nimeanza kufanya muziki mpaka leo hela kubwa ambayo nilishawahi kuishika ilikuwa ni million moja,” PNC ameiambia Clouds FM.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment