Search This Blog
Saturday, June 1, 2019
Esperance watwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika
Timu ya Esperance kutoka Tunisia imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco bao pekee la mshambuliaji Mualgeria Mohamed Youcef Belaili dakika ya 41.
Kwa matokeo hayo, Esperance inayofundishwa na kocha Mtunisia, Moine Chaabani inabeba taji hilo kwa ushindi wa jumla wa 2-1 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Prince Moulay Abdallah mjini Rabat.
Hilo linakuwa taji la pili mfululizo kwa Esperance na la nne jumla kihistoria, baada ya awali kulitwaa katika miaka 1994, 2011 na 2018.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment