Search This Blog

Friday, June 14, 2019

Chuki Dhidi ya Wapenzi wa Jinsia Moja yawa Kosa la Jinai


BRAZIL:Majaji wa Mahakama ya Juu nchini humo wamepiga kura iliyotoa uamuzi huo. Kura 8 kati ya 11 zimepitisha kuwa chuki dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa la jinai

Mtu atakayetenda kosa hilo la chuki atashtakiwa sawa sawa na mtu aliyetenda makosa la ubaguzi wa rangi

Hata hivyo uamuzi huu utasubiri sheria ipitishwe na Bunge ambalo linatajwa kuwa na Wabunge wengi wahafidhina na waumini wa Makanisa ya Kiinjili

Takwimu zinaonesha kuwa nchini Brazil watu 358 waliuawa kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja katika miaka 40 iliyopita huku 58 wakijiua mwaka 2017 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...