Search This Blog
Friday, June 14, 2019
Chuki Dhidi ya Wapenzi wa Jinsia Moja yawa Kosa la Jinai
BRAZIL:Majaji wa Mahakama ya Juu nchini humo wamepiga kura iliyotoa uamuzi huo. Kura 8 kati ya 11 zimepitisha kuwa chuki dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa la jinai
Mtu atakayetenda kosa hilo la chuki atashtakiwa sawa sawa na mtu aliyetenda makosa la ubaguzi wa rangi
Hata hivyo uamuzi huu utasubiri sheria ipitishwe na Bunge ambalo linatajwa kuwa na Wabunge wengi wahafidhina na waumini wa Makanisa ya Kiinjili
Takwimu zinaonesha kuwa nchini Brazil watu 358 waliuawa kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja katika miaka 40 iliyopita huku 58 wakijiua mwaka 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment