RAPA muimbaji mahiri Bongo, anayemiliki Bendi ya Mapacha Orijino, Khalid Chuma maarufu Chokoraa hatimaye ameanza kujichanganya rasmi kwenye Muziki wa Gospo.
Kwa kipindi cha nyuma, mara nyingi bendi yake ilikuwa ikiimba nyimbo za Gospo lakini aliyekuwa akiimba nyimbo hizo ni mkewe, Catherine Chuma.
Kutokana na nyimbo hizo kuonekana kupendwa na bendi hiyo, Chokoraa naye ameo-nekana kuingia rasmi kwenye mpango wa kupiga nyimbo hizo ambazo juzikati akiwa na bendi hiyo katika Ukumbi wa Forty Forty uliopo Tabata Bima Dar naye alionekana kutumia muda mwingi kuimba nyimbo hizo.
Akizungumza na paparazi wetu Chokoraa alisema: “Mimi ni msanii kazi yangu ni kuwaburudisha mashabiki kwa staili yoyote nikitumia kipaji changu cha uimbaji.”
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment