Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Wizara ya Maji yakamilisha ahadi ya Rais Magufuli Maswa


Wizara ya Maji imekamilisha ahadi ya Mhe. Rais  Dkt. John Magufuli kwa ujenzi wa chujio la maji la Maswa.  Vijiji 11 vyenye wakazi wapatao elfu 78 wanapata huduma ya maji safi. Mahitaji kwa siku ni  mita za ujazo 5000, maji yanayozalishwa ni mita za ujazo 10,380.



http://bit.ly/2QnewBH

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...