Search This Blog
Saturday, May 25, 2019
Waziri Lugola Atoa Agizo Mkuu wa Polisi Geita Kusimamishwa Kazi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo kuwasimasha kazi mkuu wa polisi Geita, mpelezi wa wilaya na mkuu wa kituo cha polisi Geita kupisha uchunguzi kufuatia tukio la kutoroka mahabusu 15 Mei 21 mwaka huu.
Pia ameagiza askari wengine nane waliokuwa wakiwalinda mahabusu hao kuwekwa ndani.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia tukio la mahabusu 15 kutoroka mapema wiki hii Mei 24 wakiwa kwenye jengo la Mahakama ya Mkoa wa Geita walipofikishwa kwaajili kusikiliza kesi zao
http://bit.ly/2WriUFh
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment