Search This Blog

Wednesday, May 29, 2019

Wakenya wazindua usajili wa usalama kwa alama za vidole


 Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu, akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la usajili wa alama za vidole lenye lengo la kuimarisha usalama kwa raia wa nchi ya Kenya wanaoishi ndani na nje ya nchi mapema leo jijini Dar Es Salaam. Waliosimama nyuma ni baadhi ya wafanyakazi wa ubalozi huo waliokuwa wakisamamia zoezi hilo. 
 Mary Njoroge (kushoto) raia wa Kenya anaeishi nchini Tanzania akipewa maelekezo na Balozi msaidizi, Rose Mugo, wakati wa zoezi la usajili wa alama za vidole kwa raia wa Kenya linaloendelea katika ofisi za Ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo linalenga kuimarisha usalama kwa raia wa Kenya wanaoishi ndani na nje ya nchi hiyo.  Aliyesimama kulia ni Balozi wa Kenya nchini, Mh Dan Kazungu.
Philip Wandela Mwakimu (kushoto) raia wa Kenya anaeishi nchini Tanzania akipewa maelekezo na Balozi msaidizi, Rose Mugo wakati wa zoezi la usajili wa alama za vidole kwa raia wa Kenya linaloendelea katika ofisi za Ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo linalenga kuimarisha usalama kwa raia wa Kenya wanaoishi ndani na nje ya nchi hiyo.  Aliyesimama kulia ni Balozi wa Kenya nchini, Mh Dan Kazungu.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...