Search This Blog

Thursday, May 30, 2019

WAJASILIAMALI WAENDELEA KUCHUKUA VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI MKOANI RUVUMA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme kulia,akimvisha kitambulisho cha ujasiliamali mchimbaji mdogo wa Madini ya vito kutoka wilaya ya Tunduru Bakari Chimwaga kushoto ambaye alikuwa miongoni mwa wachimbaji wadogo waliopata vitambulisho  vya wajasilimali ikiwa ni kuitikia agizo la Rais Dkt John Magufuri.

Picha na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Ruvuma


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...