Search This Blog
Saturday, May 25, 2019
Wafungwa 25 Wafariki Baada ya Kuzuka Ghasia Nchini Venezuela
Venezuela: Katika tukio hilo Askari 20 wamejeruhiwa wakati walifanya jitihada za kutuliza ghasia hizo katika gereza la Acarigua
Gereza hilo lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi Wafugwa 250 lakini kwa sasa lina takribani Wafungwa 540
Matukio ya ghasia na vifo wametokea kwa miaka 3 mfululizo nchini Venezuela ambapo Agosti, 2017 wafungwa 38 walifariki baada ya kuzuka kwa mgomo gerezani
Machi 2018, Wafungwa 68 walifariki katika ghasia zilizopelekea mlipuko wa moto
http://bit.ly/2YQiBS1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment