Search This Blog

Sunday, May 26, 2019

Wafungwa 25 Wafariki Baada ya Kutokea Ghasia Gerezani



Katika tukio hilo Askari wapatao 20 wamejeruhiwa wakati wakifanya jitihada za kutuliza ghasia hizo katika gereza la Acarigua.

Gereza hilo lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi Wafugwa 250 lakini kwa sasa lina takribani Wafungwa 540.

Matukio ya ghasia na vifo wametokea kwa miaka 3 mfululizo nchini Venezuela ambapo Agosti, 2017 wafungwa 38 walifariki baada ya kuzuka kwa mgomo gerezani. Machi 2018, Wafungwa 68 walifariki katika ghasia zilizopelekea mlipuko wa moto.



http://bit.ly/2wmg6L8

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...