Search This Blog

Friday, May 24, 2019

WABUNGE WAPEWA SEMINA YA BAJETI

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mhe. Andrew Chenge akichania jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wakifuatila jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyotolewa na Ndg. Cliff Muga kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge)


http://bit.ly/2K1JaPS

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...