Spika wa Bunge, Job Ndugai ameliomba Bunge limsamehe na kumpuuza Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Afrika (PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele ambaye anatuhumiwa kwa kutokuwa na nidhamu kwa kuichonganisha Serikali na Bunge.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-KUSUBSCRIBE
http://bit.ly/2JVGVxs

No comments:
Post a Comment