Search This Blog

Friday, May 24, 2019

VIDEO: RC Dodoma atoa agizo kali Mkoani humo


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Binilith Mahenge amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino Athuman Masasi,kuandika barua ya kujieleza kuwa ni kwanini ameshindwa kufikia lengo la ugawaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali vilivyotolewa na Mh.Rais Dkt.John Pombe Magufuli.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USIKOSE KU-SUBSCRIBE..



http://bit.ly/2JZmdgh

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...