Search This Blog

Thursday, May 23, 2019

Tazama Video Jinsi Mabweni ya Shule ya Ashira Yanavyoteketea kwa Moto, Mwanafunzi Analia Juma Atoke ndani


Mabweni ya Shule ya Sekondari wasichana Ashira, iliyopo Marangu Mkoani Kilimanjaro yanateketea kwa moto. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akieleza kuwa Askari wa Kikosi cha Zimamoto wanaendelea na jitihada za kuuzima.

VIDEO:



http://bit.ly/2Qohk1C

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...