Search This Blog

Tuesday, May 28, 2019

TANGAZO: TATIZO LA KUTOONEKANA KWA PICHA KWA BAADHI YA WATUMIAJI


Tunaomba radhi kwa tatizo la kuto kuonekana kwa picha kwa Baadhi ya watumiaji wetu wa App ya Muungwana Blog.

Tunapenda kuwataarifu kuwa tatizo hilo limekwisha Rasmi, kama bado unatatizo hilo basi ingia PLAY STORE kisha UPDATE App yetu.

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza katika kipindi hiki chote.

Kwa Maoni au maswali wasiliana nasisi kupitia namba hizi 0719788949 - 0789547574


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...