Search This Blog
Friday, May 31, 2019
Taarifa Nyingine Mbaya Kutoka Nigeria Kuhusu Shirika la Ndege la Ethiopian Airlines, Mzee Obasanjo na Wenzake 393 Wanusa Kifo
Ikiwa ni miezi miwili tu imepita tangu shirika la ndege la Ethiopian Airlines ndege yake ya Boeing 737 MAX kuanguka, Bado mzimu wa ajali unaendelea kulikumba shirika hilo kwani imeripotiwa kuwa juzi Jumatano usiku ndege moja ya shirika hilo imeponea chupu chupu kuanguka Jijini Lagos nchini Nigeria, baada ya kushindwa kutua mara tatu katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Murtala Muhammed.
Shirika hilo la ndege limethibitisha taarifa hizo na kuydai kuwa ndege hiyo ni Boeing 777-300 na ilikuwa inatoka Addis Ababa na ilishindwa kutua kwa zaidi ya mara tatu kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya jambo lililopelekea ndege hiyo kutotua katika uwanja huo.
Ndege hiyo iliyokuwa na abiria wapatao 394, imeelezwa kuwa alikuwemo Rais Mstaafu wa Nigeria, Mzee Olusegun Obasanjo ambaye alikuwa akitokea nchini Ethiopia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment