Search This Blog

Sunday, May 26, 2019

SPIKA NDUGAI ASHIRIKI SHEREHE ZA JUBILEE YA MIAKA 25 YA SHULE, MIAKA 20 YA MVUMI TRUST NA MAHAFALI YA 13 YA KIDATO CHA SITA MKOANI DODOM


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na wahitimu wa kidato cha sita na wageni waalikwa wakati wa mahafali ya 13 ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Mvumi yaliyofanyika leo Mvumi Mkoani Dodoma.
Wahitimu wa kidato cha sita wamsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye picha) wakati mahafali ya 13 ya shule ya sekondari Mvumi yaliyofanyika leo Mvumi Mkoani Dodoma.
Wageni Mbali mbali wakiwa katika mahafali ya 13 ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Mvumi tukio lililofanyika leo Mvumi Mkoani Dodoma.
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dkt. Dickson Chilongani akiongoza ibada ya shukrani iliyofanyika leo katika Shule ya Sekondari Mvumi iliyopo Mvumi Mkoani Dodoma. Katikati mbele waliokaa ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa kidato cha sita wa shule ya sekondari Mvumi baada ya mahafali ya 13 ya kidato cha sita yaliyofanyika leo katika shule hiyo, Mvumi Mkoani Dodoma.


http://bit.ly/2Ez21OO

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...