Search This Blog

Monday, May 27, 2019

Soma Kisa Hichi Kilichomkuta Huyu Baba Baada ya Simu Kuita Bahati Mbaya Akiwa Kanisani


Simu yake iliita kwa Bahati mbaya wakati wa ibada akiwa kanisani ๐Ÿ“ž☎

Mchungaji alimfokea

Waumini walimzonga baada ya maombi ya ibada
Wakati anarudi nyumbani, njia nzima mkewe aliendelea kumsema kwa kutokuwa makini
Akajisikia vibaya sana, huzuni, na aibu juu

Jioni yake, ili kupoteza mawazo, alikwenda bar

Aliagiza bia, akaiweka mezani. Kwa kuwa alikuwa na mawazo mengi, akaigusa pombe ikamwagika ๐Ÿป๐Ÿบ

Muhudumu alikuja, akampa pole kwa unyenyekevu, na akafuta meza kiustaarabu, kisha akamfuta jamaa ilipommwagikia kiunyenyekevu

Meneja wa bar ile alimpa jamaa bia ya ofa kufidia iliyomwagika ๐Ÿฅ‚๐Ÿฅƒ๐Ÿพ
Muhudumu wa kaunta alipomletea alim'busu akim'bembeleza, "Usijali, hakuna ambaye hana makosa!"

Jamaa hajawahi kukosa 'ibada' ktk bar hiyo tangu siku ile

SOMO:
Unavyowatendea watu kunaweza kujenga au kuwabomoa, hasa wanapokosea

http://bit.ly/2I0xt9r

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...