Search This Blog

Thursday, May 23, 2019

Serikali ya Serbia yasisitiza kuendelea kutumia bidhaa za Huawei


Serikali ya Serbia imesema kuwa itaendelea kushirikiana na shirika la simu la China, Huawei licha ya Google kupiga marufuku Huawei kutumia huduma za Android.

Waziri mkuu wa Biashara, utalii na mawasiliano ya simu nchini Serbia, Tatjana Matic amesema kuwa Huawei ni moja wapo ya kampuni kubwa katika soko la Serbia, na shughuli zake si tishio kwa taifa hilo.

Utakumbuka Marekani ilisema kuwa Kampuni ya Huawei ni tishio kwa usalama wake kwa kuwa huenda kampuni hiyo inatumiwa na Uchina kufanyia serikali za nje na pia wananchi wake ujasusi.



http://bit.ly/2HSGqSn

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...