Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi ya Selou marathon,Emmanuel Kajula akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam ambapo amesema lengo la kuandaa mbio hizo ni kutaka kuchochea na kukuza maendeleo ya mbio za riadha nchini Tanzania. Amewaomba watanzania kujitokeza kwa wingi katika mashindano hayo yatakayo fanyika Agosti 24 mwaka huu katika mkoa wa Morogoro.
Msanii wa kizazi kipya,Barnaba boy (kulia) ambaye pia mi balozi wa mbio za Selou marathon akizungumza leo Jijini Dar es Salaam na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi wa website ambayo ina fomu ya kuijiunga ambayo ni www.selousmarathon.com.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Msanii wa kizazi kipya,Barnaba boy ambaye pia ni balozi wa mbio za Selou marathon akizindua website ambayo inafomu ya kuijiunga ambayo ni www.selousmarathon.com
Picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment