Search This Blog

Sunday, May 26, 2019

Rais Shein Autangaza Mji wa Zanzibar Kuwa Jiji

Rais wa Zanzibar Dr Shein kwa mujibu wa sheria na mamlaka aliyonayo ameutangaza mji wa Zanzibar kuwa Jiji.

Hivyo kuanzia sasa mji wa Zanzibar unajulikana kama Zanzibar City.

Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!

http://bit.ly/2X5VNNN

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...