Search This Blog

Thursday, May 30, 2019

RAIS DKT.MAGUFULI WA TANZANIA NA MWENYEJI WAKE RAIS MNANGAGWA WA ZIMBABWE WAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU JIJINI HARARE NCHINI ZIMBABWE

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu waliyojadiliana baina ya Serikali za nchi zote mbili.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika picha na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa pamoja na waandishi wa habari wa Zimbabwe na Tanzania mara baada ya kuzungumza nao Ikulu ya Harare Nchini Zimbabwe.
Picha na Ikulu


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...